Jumapili: Ibada ya Jumapili huanza
saa 4 asubuhi na kumalizika saa 5:45. Ibada zetu huanza saa
iyo hiyo bila kuchelewa, kwa hivyo unasihiwa kuwahi ili
kumheshimu Bwana na kumwabudu pamoja nasi. Karibu sana!???
Jumatano: Siku ya Jumatano kanisani tuna kipindi cha
Kujifunza Biblia kuanzia saa 11 hadi saa 12 jioni.
Tunakaribisha watu kuchangia katika majadiliano na kujibu
maswali tunaposoma Neno la Mungu pamoja. Mara kwa mara
vikundi vyetu vidogo vinakutana manyumbani kwa waamini kwa
ajili ya ushirikiano, kujifunza Biblia, na kuwafikia
majirani zetu. Karibu ujiunge nasi katika kipindi kanisani
ama katika kipindi cha nyumbani.