| |
Kusudi letu
kama kanisa ni:
"Kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kumjua na kumfuata Mungu,
wakihudumiana pamoja katika familia ya wamwaminio."
| Kuna mambo
matano ambayo tunafanya kwa bidii ili kufanikisha kusudi hilo: |
-
Kuhubiri
Injili ili watu wapate kuokoka
-
Kuabudu,
Mungu apate kutukuzwa
-
Kutunzana,
familia ya Mungu iwe nzima
-
Kufundisha
Biblia, Wakristo wapate kukomaa
-
Kufanya
huduma, kazi ya Mungu itendeke
|
|
|