Imani Yetu


Karibu

Ibada Zetu

Huduma Zetu

Mahali Tulipo

Kusudi Letu

Imani Yetu

Uongozi Wetu

Wamisionari
Wetu

Wasiliana Nasi

Niambie Zaidi
Juu Ya Wokovu!

English

 

          Mbezi Chapel ni kanisa la kibatisti la kujitegemea. Tunaamini kwamba Biblia ni kitabu kikamilifu cha Mungu kilichoandikiwa sisi na kuhifadhiwa siku zote. Biblia ndiyo chanzo cha mafundisho yetu na imani yetu. Hapo chini ni maelezo mafupi ya imani yetu na msimamo wetu kulingana na Neno la Mungu, lakini unaweza kujifunza zaidi juu ya imani yetu, kanisa letu, na jinsi unavyoweza kuungana na Mbezi Chapel kwa kujiandikisha kusoma Darasa la Kwanza, Darasa letu la Ufafanuzi.

Bonyeza hapa ili kuangalia Maelezo ya Imani Yetu.